MVUA KUBWA YAIHARIBIA SUDAN KUSINI #WC2018RUSSIA

Sudan Kusini 

 Timu ya soka ya Taifa ya Sudan Kusini jana ilishindwa kumaliza mechi yake dhidi ya Mauritania kufuatia mchezo huo kuchezwa kwa dakika kumina kuzuliwa na Mvua kali wakati mchezo huo matokeo ya kiwa goli 1-1

Licha ya kuchezwa muda huo mfupi, Sudan Kusini bado walifanikiwa kupata la kujivunia kwa kufunga bao lao la kwanza kabisa kinyang’anyiro cha Kombe la Dunia.

Usipitwe..Jiunge nami kupitia Facebook ,Twitter , Instagram , Youtube, kwa jina la +Sangu Joseph  and +255712861292 kwa matangazo
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment