NADAL ATUPWA NJE MICHUANO YA US OPENS

 

Mcheza tennis nambari nane kwa ubora duniani Rafael Nadal ametupwa nje ya michuano ya ya US open inayoendelea nchini  marekani baada ya kupokea kichapo cha seti   tatu kwa mbili dhidi ya mpinzani wake Fabio Forgin .

Nadal ambae ni bingwa mara 14 wa michuano mikubwa duniani maarufu kama aGrand slam pia bingwa mara mbili wa michuano hiyo ya Us opens alitolewa nishai kwa seti 3-6 4-6 6-4 6-3 6-4.

Kwa ushindi huo dhidi ya Rafael Nadal, fabio sasa ataumana na mhispania mwingine Feliciano lopez katika hatua ya nne ya michuano hiyo inayoendelea nchini Marekani.

Usipitwe..Jiunge nami kupitia Facebook ,Twitter , Instagram , Youtube, kwa jina la +Sangu Joseph
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment