Klabu ya soka ya Yanga ya jijini Dsm imesema imejiandaa vya kutosha kuhakikisha inatetea ubingwa wake wa ligi kuu soka Tanzania bara kutokana na klabu hiyo kukamilisha baadhi ya taratibu katika shirikisho la mpira wa miguu Tanzania tff
Akizungumza na waandishi habari jijini Dar es salaam afisa habari wa timu ya yanga Jerry Muro amesema kuwa kuelekea maandalizi ya ligi kuu soka tanzania bara iliyoanza kutimua vumbi leo klabu hiyo imelipa kiasi cha shilingi millioni 31 kwa ajili yavkukamilisha baadhi ya taratibu katika shirikisho hilo ikiwemo ulipaji wa dolla 2000 pamoja na kulipian kibari cha kufanyia kazi kwa wachezaji wa kigeni
Akizungumizia kuhusiana na mpambano wa kesho dhidi ya Costal Union ya Tanga katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam Mullo amesema kuwa timu hiyo itamkosa mchezaji Juma Abdul anaetumikia adhabu ya kuoneshwa kadi nyekundu alioipata kwenye mchezo wa mwisho wa timu hiyo.
Akizungumza na waandishi habari jijini Dar es salaam afisa habari wa timu ya yanga Jerry Muro amesema kuwa kuelekea maandalizi ya ligi kuu soka tanzania bara iliyoanza kutimua vumbi leo klabu hiyo imelipa kiasi cha shilingi millioni 31 kwa ajili yavkukamilisha baadhi ya taratibu katika shirikisho hilo ikiwemo ulipaji wa dolla 2000 pamoja na kulipian kibari cha kufanyia kazi kwa wachezaji wa kigeni
Akizungumizia kuhusiana na mpambano wa kesho dhidi ya Costal Union ya Tanga katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam Mullo amesema kuwa timu hiyo itamkosa mchezaji Juma Abdul anaetumikia adhabu ya kuoneshwa kadi nyekundu alioipata kwenye mchezo wa mwisho wa timu hiyo.
Usipitwe..Jiunge nami kupitia Facebook ,Twitter , Instagram , Youtube, kwa jina la +Sangu Joseph and +255712861292 kwa matangazo
0 maoni:
Post a Comment